Huduma zetu

Hospitalihii ina Madaktari Bingwa waliobobea wanofanya upasuaji wa aina zote, Upasuaji mkubwa kwa mdogo

readmore

Hospitali Hii inalaza wagojwa wa aina zote. wazee, wanawake / wanaume wakubwa kwa wadogo pia na hata watoto na wa jinsia zote,  

readmore

Maabara ni idara mojawapo kati ya idara zilizopo katika Hospitali ya Mount Meru. Idara hii inasimamia vitengo vifuatavyo;-

  • Bacteriology
  • Blood Transfusion
  • Chemistry
  • Haematology
  • Parasaitology na
  • Serology

Maabara ya hospitali hii imepata...

readmore



Kitengo hiki kinaratibu huduma zifuatazo.

  1. Kuwapokea wagonjwa wote wa liotumwa kwa rufaa kutoka hospitali zote zinazoizunguka Arusha na hata nje ya mkoa.
  2. Kuwapokea na kuwatibu wagojwa wote wa ajali za aina zote na kuwatibu kabla ya kuw...

readmore