Uratibu wa Afya na Mipango

Uratibu Wa Afya Na Mipango

Idara ya Uratibu wa afya na Maipango inaratibu na kusimamia kazi zifuatazo

  1. Kutoa maelekezo na ushauri wa kiutawala na usimamizi wa rasilimali za hospitali.

  2. Kuandaa mipango ya hospitali ya kushirikaiana na wakuu wa idara na utekelezaji wa mipango hii kupitia bajeti ya iliyoandaliwa kwa kila mwaka.

  3. Kutoa tafsiri sahihi ya miongozo, sera na mikakati iliyoandaliwa na wizara ya afya ,maendeleo ya jamii ,jinsia na watoto kwa ajili ya utekelezaji ndani ya hospitali.

  4. Kuandaa mipango kabambe ya hospitali kila mwaka.

  5. Kuandaa taarifa za utekelezaji za kila wiki, mwezi, robo mwaka na mwaka mzima za mpango wa kupelekwa kwenye mamlaka husika.

  6. Kwa kushirikiana na wakuu wa idara, kuandaa taarifa na fedha, majengo, muhtasari ya vikao mbalimabli zitakazowasilishwa kwenye vikao vya menejimenti kwa ajili ya maamuzi.

  7. Kwa kushirikiana na timu ya usimamizi wa hospitali, kuratibu na kusimamia shughuli za uboreshaji huduma kwa wateja.